Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, October 5, 2009

JK ahudhuria sherehe za miaka 100 ya African Inland Church Mwanza

JK akisalimianan na baadhi ya Maaskofu wa kanisa la African Inland Church Tanzania(AICT) muda mfupi baada ya kuwasili katika uwanja wa michezo wa Kirumba, jijini Mwanza jana, ambapo alikuwa mgeni rasmi katika maadhimisho ya miaka mia moja tangu kuanzishwa kwa kanisa hilo nchini Tanzania.


akihutubia wanachi walishiriki katika sherehe za maadhimisho ya miaka mia moja tangu kuanzishwa kwa kanisa la Africa Inland Church Tanzania(AICT) katika uwanja wa michezo wa Kirumba jijini Mwanza jana asubuhi

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP