Maandalizi ya siku ya nyerere yapamba moto Butiama
Baadhi ya Wananchi wa kijiji cha Butiama wakiangalia albamu zenye picha za Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere walipotembelea banda la Idara ya Habari (Maelezo) wakati wa maonyesho ya wiki ya vijana Tanzania yanayofanyika katika kijiji hicho. Maonyesho hayo yanakwenda sambamba na kumbukumbu ya miaka 10 ya kifo cha Mwalimu Nyerere na kilele cha mbio za mwenge wa Uhuru yatakayofanyika jumatano wiki hii.Picha na Anna Nkinda - Maelezo
0 comments:
Post a Comment