vodacom miss TZ 2009 wapokea zawadi zao
Mshindi wa nne wa Vodacom Miss Tanzania 2009, Sylivia Shally akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 3 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe.
Mshindi wa tatu wa Vodacom Miss Tanzania 2009, Julieth William akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 4 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe,
Mshindi wa pili wa Vodacom Miss Tanzania 2009, Beatrice Lukindo akitabasamu baada ya kupokea mfano wa hundi ya shs milioni 6.2 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe, Dar
Vodacom Miss Tanzania 2009, Miriam Gerald akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 9 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe, jijini Dar usiku kuamkia jana. Zawadi za fedha za washindi wa shindano hilo zitaingizwa katika akaunti zao zilizofunguliwa katika benki ya Kenya Commercial Bank.
0 comments:
Post a Comment