Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, May 3, 2010

Biashara Barabarani.


Kutokana na wajasiriamali wengi hapa nchini kukosa mbinu na maarifa ya kutafuta masoko ya nje ya bidhaa zao, wengi wao wamekuwa wakiuza bidhaa hizo kiholela kama inavyoonekana pichani wajasiriamali hawa katika mji mdogo wa Chalinze wakitafuta wanunuzi kwenye mabasi mwishoni mwa wiki.Picha na Fadhili Akida

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP