Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, May 3, 2010

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ali Sheni chapisho la (UN-HABITAT)

Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ali Sheni akifungua wa mkutano wa siku moja jana jijini Dar es salaam katika Ukumbi wa Karimjee wenye lengo la kujadili mikakati mbalimbali ya uimarishaji na uendelezaji wa wa Jiji la Dar es salaam jiji hilo.

Baadhi ya washiriki wa mkutano wa siku moja unaozungumzia uimarishaji na uendelezaji wa wa Jiji la Dar es salaam wakimsikiliza jana jijini humo Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ali Sheni wakati wa ufunguzi wa mkutano huo.


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP