Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, July 31, 2009

Maonesho ya nane nane Dodoma yapata mdhamini wa mawasiliano

Mkuu wa mkoa wa Dodoma, Dkt. James Msekela (kushoto) akikabidhiwa fulana zilizotolewa na Kampuni ya Simu ya Tigo ikiwa ni sehemu ya mchango wao wa sh. milioni 50 kwa Chama cha Wakulima Tanzania (TASO) kwa ajili ya maonesho ya Nanenane yanayotarajiwa kuanza Agosti Mosi mjini Dodoma. Anayekabidhi mchango huo ni Meneja Uhusiano wa Tigo, Bw. Jackson Mmbando



Mkuuwa mkoa wa Dodoma, Dkt. James Msekela (kati) akifurahia baada ya kukabidhiwa simu za mkononi pamoja na fulana zilizotolewa na Kampuni ya Simu ya Tigo ikiwa ni sehemu ya mchango wao wa sh. milioni 50 kwa Chama cha Wakulima Tanzania (TASO) kwa ajili ya maonesho ya Nanenane yanayotarajiwa kuanza Agosti Mosi mjini Dodoma. Kulia meneja husiano wa Tigo, Bw. Jackson Mmbando anayekabidhi mzigo huo

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP