Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 18, 2009

Hatimaye Kombe la Dunia kutinga Tanzania

Katibu Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini Tanzania (TFF) Fredrick Mwakalebela akizungumza na waandishi wa habari kwenye uwanja wa Taifa juu ya maandalizi ya ujio wa kombe la Dunia linalotarajiwa kuwasili kesho na kuzinduliwa kesho hiyohiyo na Mh Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Mrisho Kikwete saa kumi jioni, ambapo pia mashabiki mbalimbali watapata fursa ya kupiga nalo picha kwa kumbukumbu kabla ya kuendelea na ziara hiyo katika nchi nyingine.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP