Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, November 16, 2009

Makamanda wa CCM

Mwanasiasa Mkongwe nchini , Kingunge Mgombale – Mwiru ambaye pia ni Naibu Kamanda Mkuu wa UVCCM na Mbunge wa Kuteuliwa ( wa pili kulia) akimpongeza Mwenyekiti wa Mkoa wa CCM , Mhandisi Petro Kingu , ambaye alikuwa Kamanda wa UVCCM wa Morogoro mjini baada ya kukabidhi cheti cha utumishi kwa nafasi hiyo ambayo imechukuliwa na Pascal Kihanga ( hayupo pichani) wikiendi hii mjini Morogoro

Mkuu wa Wilaya ya Ulanga, Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe, (kulia) akimsikiliza Mwanasiasa Mkongwe nchini Kingunge Ngombale –Mwiru ambaye pia ni Naibu Kamanda Mkuu wa UVCCM na Mbunge wa kuteuliwa ( hayupo pichani) baada ya kusimikwa juzi kuwa Naibu Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM Wilaya ya Ulanga ambapo Kamanda wa Wilaya ni Rajab Mkwesi ( hayupo pichani). Picha na John Nditi.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP