Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 4, 2009

Jose Mara azaliwa Novemba 2

Burudani ilitolewa na FM Academia na mtoto mwenyewe kwa kucheza sebene

zawadi za mtoto zilitolewa

Picha ya pamoja kwaajili ya kumbukumbu kwa waalikwa wote nayo ikapigwa, hii ilikuwa ndani ya ukumbi wa New Africa Hotel katikati ya jiji la Dar es Salaam Novemba 2 2009




Mwanamuziki wa bendi ya FM Academia Jose Mara na mkewe Monica a.k.a Mama Junior wakiwa wamejishika kiuno wakitafakari namna ya kukata keki ya hiyo ya kuadhimisha tarehe ya kuzaliwa Jose mMara.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP