Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, November 19, 2009

Vodacom Tanzania yamwaga 25m/- Zenji kwa Mapinduzi Cup

Mkurugenzi masoko wa Vodacom Tanzania, Ephraim Mafuru (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya sh.milioni 25 kwa naibu waziri kiongozi na waziri wa habari utamaduni na michezo wa Zanzibar Mh. Ali Juma Shamhuna kwa ajili ya udhamini wao wa kombe la Mapinduzi kwenye sherehe iliyofanyika kwenye hoteli ya zanzibar ocean view leo.


Naibu waziri kiongozi na waziri wa habari utamaduni na michezo zanzibar, Mh. Ali Juma Shamhuna akiongea kwenye hafla ya kupokea hundi ya sh.milioni 25 udhamini wa Vodacom Tanzania kwa kombe la mapinduzi 2010. hafla ilifanyika kwenye hoteli ya zanzibar ocean view.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP