Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 4, 2009

MBIO MAALUM ZA KUKIMBIZA BENDERA YA TAIFA ZAENDELEA.

Wanariaadha wa mkoa wa Arusha wakianza siku ya pili ya mbio maalumu za kukimbiza bendera ya Taifa kwa kupokezana baada ya kupokea bendera hiyo kutoka kwa wenzao wa Dar es Salaam, jana. Wanariadha hao watamaliza mbio hizo siku ya ijumaa kwa kuipandisha bendera ya taifa katika kilele cha mlima wa Kilimanjaro.



Mwanariadha kutoka mkoa wa Arusha, Pius Sulle akikimbia mbio maalumu za kukimbiza bendera ya taifa kwa kupokezana kutoka Chalinze hadi Segera baada ya kupokea bendera hiyo kutoka kwa wenzao wa Dar es Salaam, juzi. kabla ya kuhitimisha mbio hizo siku ya ijumaa kwa kuipandisha katika kilele cha mlima wa Kilimanjaro. Mbio hizo za kampeni ya ‘Fikisha Tanzania katika hatua za juu’ zimedhaminiwa na Kampuni ya Bia Tanzania (TBL) kupitia bia yake ya Kilimanjaro

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP