Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 18, 2009

Serengeti yamwaga mamilioni kwa Kisura wa Tanzania


Meneja Uhusiano wa Serengeti Breweriers Teddy Mapunda akikabidhi mfano wa cheki yenye thamani ya shilingi Milioni 35 kwa meneja mradi wa Kisura wa Tanzania Grace Kilembe huku kisura wa Tanzania 2008 Emmy Nelau na Meneja mkuu wa Serengeti Winston Kagusa waliosimama katikati wakishuhudia tukio hilo lililofanyika kiwandani hapo, aliyesimama kushoto ni Brand Manager wa Kampuni hiyo Nandi Mwiyombela, shindano la kisura wa Tanzania linatarajiwa kufanyika Disemba mosi mwaka huu kwenye Hoteli ya Movenpick jijini Dar se salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP