Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 18, 2009

Rukwa na Matukio.

MAFUNDI wakijenga daraja lililopo maeneo ya Majengo katika Manuspaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa hivi leo. Daraja hili limeharibiwa vibaya kutoka na mvua kubwa za msimu uliopita na zinazoendelea kunyesha msimu huu katika maeneo mengi mkoani humo.

WANAFUNZI wa Shule ya Sekondari ya Msakila High School katika Manispaa ya Sumbawanga Mkoani Rukwa wakishiriki katika ujenzi wa uzio wa shule yao kwa njia ya kujitolea leo
Picha na Rukwa Peti Siyame

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP