Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 18, 2009

Mchuma wa Fiesta

Meneja Matukio na Promosheni wa Serengeti Breweriers Bahati Singh naye alipata nafasi ya kuweka saini katika gari hilo.


Meneja Uhusiano wa Serengeti Breweriers Teddy Mapunda akiweka saini kwenye gari aina ya Mitsubishi pajero linalotarajiwa kutolewa kwa mshindi wa bahati nasibu mashabiki wa Fiesta One Love itakayofanyika sambamba na tamasha hilo litakalofanyika kwenye viwanja vya posta Kijitonyama, mashabiki watapata nafasi ya kushiriki katika bahati nasibu hiyo kutokana na tiketi zao walizokata ili kuingia kwenye tamasha hilo ambapo wasanii mbalimbali watatoa burudani kutoka hapa nchini na nje ya nchi akiwemo mkali wa Hiphop kutoka nchini Marekani
Busta Rymes, kweli hii ni Fiesta one Love

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP