Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, November 18, 2009

Mama Kikwete katika ziara ya Manyoni.

Mke wa Rais Mama Salma Kikwete ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo (WAMA) akiwa amebeba kibuyu mara baada ya kukabidhiwa na wanawake wa kabila la wataturu ikiwa ni ishara ya kumkaribisha katika mkoa wa Singida. Mama Kikwete yuko katika ziara ya kikazi ya siku mbili mkoani humo.(


Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiwakabidhi wanafunzi wa shule ya sekondari Itigi msaada wa magodoro 20 kwa ajili ya hosteli ya wanafunzi wasichana wa shule hiyo.
Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipata maelekezo kutoka kwa Mikasi Mpembee kuhusu jinsi mashine ya kusaga na kukoboa nafaka ya uyanjo VICOBA inavyofanya kazi. Taasisi ya WAMA iliichangia Uyanjo VICOBA Tshs.1,000,000/= fedha ambazo zitatumika kuinua mtaji wa biashara.
(Picha na Juma Kengele - Ikulu)


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP