Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

CRDB wamzawadia Francis Cheka.

Bondia Francis Cheka ambaye ni bingwa wa ICB akionyesha ngumi yake mbele ya Mkurugenziwa masoko na utafikti wa Benki ya CRDB Tuli Mwambapa wakati alipokabidhiwa cheki yake ya shilingi milioni 4 katika makao makuu ya benki hiyo leo mchana Cheka alimpiga bondia Isack Tarvez kutoka Brazil kwa KO juzi.


Bondia Francis Cheka akipokea Cheki yake ya shilingi mililoni 4 aliyopewa na benki ya CRDB kutoka kwa Mkurugenzi wa Masoko na Utafiti wa benki hiyo Tuli Mwambapa, baada ya kumpiga bondia Isack Tarvez kutoka Brazil kwa KO kwenye pambano lao lililofanyika katika ukumbi wa PTA viwanja vya maonyesho vya mwalimu J.K.Nerere barabara ya Kirwa jumamosi iliyopita,. hafla hiyo imefanyika leo mchana katika makao makuu ya benki hiyo mtaa wa Azikiwe jijini Dar es salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP