Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, December 30, 2009

Waandishi ndani ya TBL

Meneja wa Upikaji Bia wa Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL),Dar es Salaam, Kalvin Nkya (wa pili kushoto), akitoa maelezo kwa Waandishi wa habari kutoka vyombo mbalimbali vya habari, nchini, jinsi bia inavyochachushwa, walipotembelea kiwanda hicho, jana. Kushoto ni Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa TBL, Maneno Mbegu.



Waandishi wa habari wakiangalia mtambo wa wa kusafisha maji taka na kuwa safi kwa ajili ya matumizi mbalimbali. Mtambo huo umejengwa kwa gharama ya sh. bilioni 3


Waandishi wakimsikiliza Meneja wa Upikaji Bia wa Kiwanda cha Bia Tanzania (TBL),Dar es Salaam, Kalvin Nkya (katikati), jinsi bia inavyopikwa



Meneja Uhusiano na Mawasiliano wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Maneno Mbegu (kulia), akitoa muhtasari kuhusu utendaji wa kampuni hiyo, kwa waandishi wa habari, waliotembelea kujua jinsi bia inavyotengezwa katika kiwanda cha TBL, Dar




0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP