Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, December 23, 2009

Rais Karume Atembelea kituo cha kupokea umeme Fumba

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,(katikati) akipata maelezo kutoka kwa Mtaalam wa masuala ya Umeme Kutoka Afrika Kusini Martin Burls,wa kampuni ya EHT,(aliyenyoosha mkono),wakati alipotembelea Kituo cha kupokea Umeme Funga kuona matatizo yaliyosababish kukosekana kwa Nishati hiyo takriban wiki tatu sasa.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP