Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

Raha ya kushinda


Mpiga Picha Bora 2009, Richard Mwaikenda wa gazeti la Jambo Leo, akipongezwa na Mwenyekiti wa Chama cha Wapiga Picha za Habari Tanzania (PPAT), Juma Dihule, wakati wa hafla ya kuwazawadia waandishi bora 2009, Dar usiku kuamkia jana. Hafla hiyo iliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT). Jerry Muro wa TBC ndiye aliyeibuka mwandishi bora wa jumla

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP