Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

WAZUNGUMZIA MADHARA YA MATUMIZI YA TUMBAKU


Mwenyekiti wa chama cha Kudhibiti matumizi ya Tumbaku Tanzania Lugard Kagaruki (kulia )akiongea na wadau wa wamiliki wa mahoteli na mabaa jijini leo kuhusu madhara ya matumizi ya tumbaku na moshi wa sigara. Mwingine ni Kaimu Mwenyekiti wa Chama cha kudhibiti matumizi ya tumbaku Tanzania Dr. Ali Mzige. (Picha na Mwanakombo Jumaa -Maelezo)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP