Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

Mkutano wa utamaduni wamalizika Morogoro

Wasanii wa Kikundi cha ngoma za asili cha Afya Art cha Manispaa ya Morogoro wakionesha ustadi wa kucheza ngona ya ‘Ngokwa’ ya Kabila ya Wamakonde wa Mikoa ya Kusini ya Mtwara na Lindi wakati wa hafla ya kufunga kikao cha saba cha Mkutano Mkuu wa Sekta ya Utamaduni wikiendi hii mjini Morogoro

Mwanamziki mkongwe nchini ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chama cha Muziki wa Dansi Tanzania, ( CHAMUDATA), Kassim Mapili ( mwenye suti) akisiliza hotuba ya mgeni rasmi ( hayupo pichani) wakati wa kufunga kikao cha saba cha Mkutano mkuu wa Sekta ya Utamaduni uliomalizika wikiendi hii.
Picha na John Nditi

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP