Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, December 23, 2009

Vodacom yakabidhi vifaa kwa ajili ya kombe la Mapinduzi Cup

aibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna (kushoto)akikabidhi vifaa vya michezo kwa mwakilishi wa Katibu Mkuu wa timu ya Simba Mohamed Kajole mara baada ya kukabidhiwa na Vodacom Tanzania ambao ni wadhamini wakuu wa kombe la Mapinduzi (katikati)Maneja Mauzo wa Vodacom Tanzania Atilio Lupala

Naibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna akionyesha jezi zitakazo vyaliwa kwenye kombe la Mapinduzi baada ya kukabidhiwa na Meneja udhamini wa Vodacom Tanzania Emillian Rwejuna aliyekaa kushoto.

Naibu Waziri kiongozi na Waziri wa Habari na Michezo Ali Juma Shamhuna na Katibu Mkuu wa ZFA wilaya ya mjini Nassor Salumu(kushoto)wakionyesha jezi baada ya kukabidhiwa na wadhamini wakuu wa kombe la Mapinduzi Vodacom Tanzania

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP