Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, December 23, 2009

Rais Karume afungua mkutano wa Redet

Baadhi wa washiriki wa Mkutano wa siku mbili kuhusu Hali ya siasa Zanzibar unaoendelea katika ukumbi wa Salama Bwawani,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume alipoufungua mkutano huo jana katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar.


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akiufungua Mkutano wa kwanza wa Hali ya Siasa Zanzibar,katika ukumbi wa Salama Bwawani,ulioandaliwa na Mpango wa Utafiti wa Elimu ya Demokrasia Tanzania (REDET) wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP