Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

Rais Karume awatunuku nondo zao wanafunzi wa Ifm Zanzibar

Baadhi ya wahitimu wa mahafali ya sita ya Chuo cha Uongozi wa Fedha Chwaka,wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani abeid Karume alipozungumza nao wakati alipowatunuku shahada juzi.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akimtunuku Shahada ya Kawaida Philemon Pius Mechel,katika mahfali ya sita ya Chuo cha Uongozi wa Fedha ,Chwaka Mkoa wa Kusini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Amani Abeid Karume,akimtunuku Shahada ya Kawaida Bimaka Abdalla Moh’d,katika mahfali ya sita ya Chuo cha Uongozi wa Fedha ,Chwaka Mkoa wa Kusini.
Picha na Ramadhan Othman Ikulu.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP