Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, December 21, 2009

Rais Kikwete ashiriki mazishi ya Dr.Lawrence Gama.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakitoa heshima za mwisho kwa Marehemu Dr.Lawrence Gama wakati wa ibada ya mazishi iliyofanyika kijijini kwake Amani Makolo,wilayani Mbinga, Mkoa wa Ruvuma jana jioni.


Rais Jakaya Mrisho Kikwete na mkewe Mama Salma Kikwete wakiweka udongo katika kaburi la Marehemu Dr.Lawrence Gama wakati wa mazishi yaliyofanyika kijijini kwake Amani Makolo,wilyani Mbinga,Mkoani Ruvuma leo jioni.Dr.Gama aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini ikiwemo Mkurugenzi wa Usalama wa Taifa na Katibu mkuu wa Chama Cha Mapinduzi CCM(photo by Freddy Maro)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP