Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

Bangi yateketezwa Tarime

Mkuu wa kitengo cha kupambana na dawa za kulevya polisi SACP Godfrey Nzowa Akichoma bangi katika shamba lililoharibiwa katikaoparesheni ya kupambana na uhalifu wa ujambazi wizi wa mifugo na kilimo cha dawa za kulevya, poaresheni hiyo imeendeshwa kwa wiki moja sasa katika mkoa wa kipolisi wa Tarime/ Rorya

Mtuhumiwa anayedaiwa kushughulika na kilimo cha Bangi Tyeno Rasto Nyaoke akiwa mbaloni katikati ya askari ambao wanaendesha oparesheni maalum katika mkoa wa kipolisi wa Tarime/Rorya

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP