Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

Wabunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika watembelea bunge la Pakistan

Spika wa Bunge la Pakistan, Mhe. Dr. Fahmida Mirza akizungumza na wabunge toka Chama cha Wabunge wa Jumuiya ya Madola Kanda ya Afrika ambao wako Pakistan kwa ziara ya kikazi. Kutoka kulia ni Mwenyekiti wa Chama cha Wabunge wanawake wa Jumuiya ya Madola ambae pia ni mbunge wa Bunge la Pakistan, Mhe. Kashmala Tariq, wa pili toka kulia ni Spika Mirza na watatu kulia ni Mhe. Elijah Okupa toka Uganda, Wa nne ni Mhe. Beatrice Shellukindo na Kushoto ni Katibu wa Msafara huo, Saidi Yakubu wa Bunge la Tanzania

Wabunge toka Chama cha wabunge wa Jumuiya ya Madola na Katibu wao wakifuatilia mjadala wa mabadiliko ya Katiba ndani ya Bunge la Pakistan

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP