Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 15, 2010

Bungeni Dodoma

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma, Aprili 15, 2010


Baadhi ya Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wakimsikili Waziri Mkuu, Mizengo Pinda wakati alipofungua mkutano wao kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha ST. Gaspar Conference Cetre Mjini Dodoma leo.


Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo akifungua mkutano wa Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa wanawake kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha ST. Gaspar Conference Cetre Mjini Dodoma

Katibu Mkuu Kiongozi, Philemon Luhanjo (waliokaa watano kushoto) akiwa katika picha ya pamoja na Makatibu Wakuu, Naibu Makatibu Wakuu na Makatibu Tawala wa Mikoa baada ya kufungua mkutano wao wa mwaka kwenye ukumbi wa Kituo cha Mikutano cha ST. Gaspar Conference Cetre Mjini Dodoma,





Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akijibu maswali ya wabunge, bungeni mjini Dodoma, Aprili 15,2010.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)


Naibu Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Ta, Dr. Emmanuel Nchimbi (kushoto) akifurahia jambo katika Mazungumzo na Mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama kwenye viwanja vya Bunge Aprili 15, 2010.




0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP