Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

Halmashauri Kuu ya CCM yakutana Dar es Salaam leo


Baadhi ya wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM NEC wakiwa katika kikao chao leo katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam.

Mwenyekiti wa CCm Rais Jakaya Mrisho Kikwete, Rais Zanzibar Amani Abeid Karume na Katibu mkuu wa CCM Bwana Yusuf Makamba wakiingia katika ukumbi wa Karimjee jijini Dar es Salaam tayari kuanza kwa kikao cha Halmashauri kuu ya taifa ya CCM (NEC).


Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akifungua mkutano wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM kwenye ukumbi wa Karimjee jijini Dar es salaam, April 8, 2010. Wengine kutoka kushoto ni Rais na Mwenyekiti wa CCM Mstaafu, Benjamin Mkapa, Mwenyriti wa CC na Rais Mstaafu,Ali Hassan Mwinyi, Makamu Mwenyeti wa CCM na Rais wa Zanzibar, Amani Abein Karume, Katibu Mkuu wa CCM, Yusufu Makamba na Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara), Pius Msekwa.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP