Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, April 7, 2010

Wanahabari Morogoro wasaidia harambee ya Kilosa


Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo akipokea msaada wa nguoazi kutoka kwa wawakilishi wa waandishi wa habari wa Mkoa wa Morogoro hivi karibuni wilayani Kilosa. Wanahabari waliotoa msaada huo ili kuunga mkono juhudi za wadau mbalimbali za kuwasaidia waathirika wa mafuriko ya Kilosa ambao bado wanaishi katika Kambi baada ya makazi yao kuharibiwa na mafuriko. Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO-Kilosa

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP