Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 15, 2010

Waziri Mkulo azindua mchakato wa maoni ya MKUKUTA awamu ya 2 mjini Dodoma


Waziri wa Fedha na Uchumi, Mustafa Mkulo (katikati) akitoa ufafanuzi kwa waandishi wa habari juu ya kuanza kwa mchakato wa kujadili kuhusu Mpango wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania (MKUKUTA) awamu ya pili. Mchakato wa kutoa maoni umeanza jana mjini Dodoma ambapo wabunge walipata fursa ya kutoa maoni yao jinsi ya kuboresha awamu ya pili ya MKUKUTA. wengine katika picha ni Naibu Katibu Mkuu wizara ya fedha na Uchumi John Haule (kushoto) na Mkurugenzi wa Idara ya Kuondoa Umaskini na Uwezeshaji Anna Mwasha(kulia)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP