Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

Quality Group na Uchumi Group kujenga Dukakuu Dar es Salaam


Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Uchumi Group ya Kenya, Jonathan Piano (kulia), akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari jijini Nairobi, Kenya juzi, wakati wa hafla ya kusaini mkataba na Kampuni ya Quality Group ya kuanzisha Dukakuu jijini Dar es Salaam. Katikati ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa Quality Grup, Yusuph Manji na mwingine ni ofisa wa kampuni ya Quality Group aliyetambulika kwa jina moja la Vasu



Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Quality Group, Yusuph Manji (kushoto), akibadilishana hati ya mkataba na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Uchumi Group ya Kenya Jonathan Piano, wakati wa hafla ya kusaini mkataba wa kuanzisha Dukakuu jijini Dar es Salaam, hafla hiyo ilifanyika Nairobi juzi.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP