Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, April 16, 2010

Mkulo na Mkukuta yake.


Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo(katikati) akibadilishana mawazo jana nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma na Mbunge wa Jimbo la Busega wilayani Magu, Mkoani Mwanza, Dk. Raphael Masunga Chegeni(kushoto) pamoja na Mbunge wa Viti Maalum CHADEMA Lucy Owenya ( kulia) mara baada ya kumalizika kwa kukusanya maoni ya wabunge juu mchakato wa majadiliano ya Mpango wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania(MKUKUTA) ambazo zoezi hilo limeanza jana jioni na linaendelea nchini kote.


Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo(kulia) akibadilishana mawazo jana nje ya Ukumbi wa Bunge mjini Dodoma na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Uchumi Ramadhan Khijjah (katikati) pamoja na Naibu Katibu Mtendaji Ofisi ya Rais Tume ya Mipango Clifford Tandari( kushoto) mara baada ya uzinduzi wa mchakato wa majadiliano ya Mpango wa Kukuza Uchumi na Kuondoa Umaskini Tanzania(MKUKUTA) ambazo zoezi hilo limeanza jana jioni na linaendelea nchini kote.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP