Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

PRINCESS MAXIMA WA UHOLANZI AKUTANA NA WAZIRI WA FEDHA NA UCHUMI

Princess Maxima mke wa mtoto wa malkia wa uholanzi akijadiliana jambo jijini Dar es salaam na Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo leo juu ya uimarishaji huduma za kibenki kwa wananchi waliowengi. Princess Maxima huyo na ujumbe wake yuko nchini kwa ziara ya siku mbili ambapo atakutana na viongozi mbalimbali waandamizi wa serikali na taasisi za kifedha.


Princess Maxima akipokea zawadi ya vitu mbalimbali ikiwemo Kahawa, Chai na Korosho kutoka kwa Waziri wa Fedha na Uchumi Mustafa Mkulo leo jijini Dar es salaam ikiwa ni ishara ya kumkaribisha nchini Tanzania.
Picha na Tiganya Vincent-MAELEZO

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP