Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 15, 2010

Miaka 10 ya Hospitali ya taifa Muhimbili

Kinamama wakipata maelezo ya huduma za Muhimbili


Wananchi wakipata vipeperushi kwenye maonyesho


wafanyakazi wa Muhimbili katika sherehe za ufunguzi wa maonesho hayo


Mganga Mkuu wa Serikali Dkt. Deo Mtasiwa akifungua rasmi Maonesho ya kutimiza mkiaka 10 ya Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kwenye viwanja vya hospitali hiyo jijini Dar. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mh.William Lukuvi (MB) anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika kilele cha maonyesho haya kesho tarehe 16 Aprili 2010.



Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Profesa Leonard Lema akimkaribisha Mgeni Rasmi kufungua maonyesho ya Huduma za Hospitali ya Taifa Muhimbili katika kuadhimisha miaka 10 toka ilipoanzishwa Aprili 2000.


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP