Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, April 7, 2010

NHIF yawapiga somo wachora katuni na wapiga picha

Wachora katuni wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya semina iliyowashirikisha Wapiga picha na Wachora Katuni iliyoandaliwa na Mfuko wa Bima ya Afya (NHIF) na kufanyika katika ukumbi wa Baraza la Maaskofu jijini Dar jana.
Mkurugenzi wa Uanachama na Uendeshaji wa mfuko wa Bima ya Afya, Hamis Mdee akifafanua jambo wakati wa semina iliyoandaliwa kwa ajili ya wachora katuni na wapiga picha, iliyofanyika Dar es Salaam, jana. Katikati ni Mkurugenzi Mkuu wa mfuko wa Bima ya Afya, Emmanuel Humba.
Washiriki wa semina ya Mfuko wa Bima ya Afya wakimsikiliza mtoa mada, Rehani Athumani (hayupo pichani) wakati wa semina iliyowashirikisha wachoraji katuni na wapiga picha kwenye ukumbi wa baraza la Maaskofu, Kurasini, Dar es Salaam
Wapiga picha katika picha ya pamoja baada ya semina elekezi ya NHIF

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP