Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

Dalali awafunika akina Wambura, Rage

Ngoma na matarumbeta hayakuwa nyuma kwani yalikuwepo kumsindikiza Mzee Dalali wakati alipojitokeza katika kuwania nafasi ya kutetea yake na kuwa tayari kuwakabili akina Ismail Aden Rage, Michael Wambura katika kuwanania nafasi ya Uenyekiti.


Baadhi ya mashabiki wa klabu walijitokeza kwa mamia ikiwa ni kuonyesha imani yao kwa Mzee Dalali wakati alipojitokeza kuchukua fomu ya kutetea nafasi yake katika mtaa wa Msimbazi

Mwenyekiti wa sasa wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam ambayo inamaskani yake Mtaa wa Msimbazi Hassan Dalali( mwenye mpira) leo mchana alitinga klabuni hapo kuchukua fomu ya kuwania nafasi hiyo tena akisindikizwa na umati mkubwa wa washabiki na wapenzi wa timu hiyo.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP