Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, April 16, 2010

Wanachama wapya wa UWT kutoka vyuo vya Dodoma wapewa kadi.

Naibu Kaibu Mkuu wa UWT Taifa Asha Bakari akimkabidhi kadi ya uanachama wa CCM Bi Situmai Makae wakati akiwaapisha wanachama wapya Wa UWT zaidi ya 800 jana mkoani Dodoma kutoka Vyuo vinne , CBE, Mipango, St Johns na UDOM.



Mpiga zeze maarufu nchini Dr. Masalia akipiga zeze katika sherehe hiyo juzi
Wanachama wapya wa UWT kutoka vyuo mbalimbali Mkoani Dodoma wakiapa kuwa watiifu kwa chama chao.Picha zote na Mwanakombo Jumaa.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP