Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, April 8, 2010

BASI LA VITU LAINI LAPATA AJALI LAUA IRINGA


Basi la kampuni ya vitu laini (pichani )lililokuwa likitoka Lulanzi wilaya ya Kilolo kuja mjini Iringa limepinduka katika eneo la Tagamenda mpakani mwa wilaya ya Kilolo na Manispaa ya Iringa na kusababisha vifo vya watu wawili na kujeruhi wengine zaidi ya 10
Ajali hii imetokea majira ya saa mbili asubuhi.
Picha kwa hisani ya Francis Godwin Blog

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP