Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, April 14, 2010

Bungeni Dodoma


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Mwenyekiti wa Usalama Barabarani upande wa watu wenye ulemavu , Jutoram Kabatelle kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Aprili 14, 2010.

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Mbunge wa Kuteuliwa , Kingunge Ngombale -Mwiru kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma,


Waziri mkuu, Imzengo Pinda akizungumza na Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na Mbunge wa Viti Maalum, Gaudentia Kabaka (katikati) na Mbunge wa Busanda , Lolesia Bukwimba kwenye viwanja vya Bunge Mjini Dodoma leo Aprili 14, 2010.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP