Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Friday, October 9, 2009

Afya ya JK ni safi- Daktari

Daktari wa Rais Jakaya Kikwete, Dkt. Peter Mfisi, akizungumza na wandishi wa habari Dar es Salaam jana, kufafanua masuala muhimu ya afya ya Rais kufuatia tukio la kuishiwa nguvu wakati akishiriki katika sherehe za miaka 100 ya Kanisa la African Inland Church Tanzania (AICT) Mkoani Mwanza hivi karibuni. Kushoto ni Mkurugenzi wa Mawasiliano Ikulu, Bw. Salva Rweyemamu.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP