Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, October 5, 2009

Tanzania yanga'ra maonesho ya Mkutano wa Telecom World 2009

Rais wa Rwanda Mh. Paul Kagame akitembelea banda la Tanzania Geneva leo


maandalizi na ufunguzi wa Mkutano wa Telecom World 2009uliofunguliwa na katibu mkuu wa UN leo mjinbi Geneva. Huu ni sehemu ya ujumbe wa Tanzania katika mkutano

banda la Tanzania huko Geneva tayari kwa maonesho. washiriki ni TCRA, Wizara yaMawasiliano TZ na wadau wengine


Mkurugenzi Mkuu TCRA Profesa Mkomwa na maafisa wa TCRA wakipewa maelezo kwenye banda la Tanzania kwenye maonesho ya technlogia



Washiriki wa maonesho ya teknolojia ITU Telecom World wakimsikilizaMkurugenzi mkuu wa TCRA (hayupo pichani) wakati wa maandalizi ya mwishomwisho jana jumapili mjini Geneva ndani ya jengo la maonesho la Tanzania



0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP