Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, October 6, 2009

JK ajiandikisha

Akiondoka baada ya kujiandisha. JK aliwahimiza wananchi kutumia haki yako ya kujiandikisha ili wapige kura kuwachagua viongozi wa serikali zao za Mtaa "Hawa ndio viongozi wenu wa kutatua shida na kero mbalimbali kwa ngazi ya mitaa yenu...maji taka mtaani, ugomvi usiku na mchana..." alisema Kikwete.



Rais Jakaya Kikwete akijiandikisha kwaajili ya uchaguzi wa serikali za Mtaa unaotaraji kufanyika baade mwezi huu katika Kituo namba moja, mtaa wa Kivukoni, kilichopo shule ya msingi Bunge Dar es Salaam Oktoba 5 2009,mchana. Kikwete alikuwa ni mwananchi wa 12 kujiandikisha tangu kuanza kwa zoezi hilo kituoni hapo jana. Kulia ni Mwalimu Issa Kipengele anaye mwandikisha.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP