Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, October 21, 2009

TAMASHA LA BIASHARA KUFANYIKA JIJINI DAR

Bw. Ali Nizam Meneja Mkuu wa Nizam Exhibitions Company akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo wakati alipotangaza Tamasha la Biashara ambalo linatarajiwa kufanyika kwenye Viwanja vya Mwalimu J.K.Nyerere barabara ya Kirwa kuanzia Oktoba 28 mpaka Novemba 10 litakaloshirikisha nchi 11 kutoka mashariki ya kati, Asia na Afrika Mashariki kushoto ni Dr. Ellen Otaru-Okoedion mratibu wa tamasha hilo.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP