Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, October 7, 2009

Ajira za watoto


Watoto wadogo wenye umri wa kwenda shule huko Mkoani Mbeya,walikutwa wakigonga mawe kwa ajili ya kupata kokoto walizokuwa wakiziuza sh.1000 kwa debe moja.kwa kweli hii hali ni ya kusikitisha sana katika taifa letu hili.Picha na Michael Jamson

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP