Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Monday, October 5, 2009

vodacom miss TZ 2009 wapokea zawadi zao

Mshindi wa nne wa Vodacom Miss Tanzania 2009, Sylivia Shally akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 3 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe.

Meneja wa Redds Original toka TBL Kabula Nshimo(kulia)akimkabidhi Vodacom Miss Tanzania 2009 Miriam Gerald zawadi ya mfano wa hundi ya shs milioni moja baada ya kuibuka mshindi wa shindano la Miss Redd's Photogenic 2009 wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika usiku wa kuamkia jana kwenye Hoteli ya Giraffe, Dar. Shindano hili lililoongeza chachandu katika fainali hizi za urembo linaratibiwa na Globu ya Jamii na kudhaminiwa na kilaji bomba kinachopendwa cha Redds Original


Mshindi wa tatu wa Vodacom Miss Tanzania 2009, Julieth William akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 4 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe,


Mshindi wa pili wa Vodacom Miss Tanzania 2009, Beatrice Lukindo akitabasamu baada ya kupokea mfano wa hundi ya shs milioni 6.2 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe, Dar



Vodacom Miss Tanzania 2009, Miriam Gerald akipokea mfano wa hundi ya shs milioni 9 kutoka kwa Ofisa Mkuu wa Mahusiano wa kampuni ya Vodacom Group (Vodacom Group Chief Officer of Corporate Affairs, Bob Collymore ikiwa ni moja ya zawadi kwa kutwaa ushindi huo wakati wa hafla ya kuwapongeza iliyofanyika kwenye Hoteli ya Giraffe, jijini Dar usiku kuamkia jana. Zawadi za fedha za washindi wa shindano hilo zitaingizwa katika akaunti zao zilizofunguliwa katika benki ya Kenya Commercial Bank.



0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP