Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Wednesday, October 21, 2009

Chikawe azindua cheti kipya cha kuzaliwa

Waziri wa Katiba na Sheria, Mathias Chikawe akikata utepe kuzindua cheti kipya cha kuzaliwa, jijini Dar leo. Anayeshuhudia ni Katibu Mkuu wa wa wizara hiyo, Oliver Mhaiki. Cheti hicho kimetengenezwa kwa utaalamu wa hali ya juu kudhibiti kanyaboya

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP