Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, October 8, 2009

Fainali Bongo Star Search ni Jumanne ijayo


Baadhi ya washiriki wa shindano la Bongo Star Search (BSS) wakila pozi la picha leo wakati wa kutangaziwa zawadi. Kutoka kulia ni Jackson george (Tanga), Beatrice William (Mwanza), Kelvin Mbati (Dar es salaam) na Pascal Cassian (Mwanza).
Mkurugenzi wa Benchmark Production Madame Rita Paulson(katikati)akiongea na waandishi wa habari juu ya kutangaza zawadi kwa washindi wa Bongo Star search(BSS)(kushoto)Brand Manager wa Kilimanjaro George Kavishe(kulia)Meneja Udhamini wa Vodacom Tanzania Emillian Rwejuna.Mashindano haya yatafanyika Diamond Jubilee Jumanne ijayo.


Baadhi ya washiriki walioingia katika kinyanganyiro cha kumpata mshindi wa Bongo Star Search (BSS)wakiwa wanaimba mbele ya waandishi wa habari kuonyesha vipaji vyao kabla ya shindano lao la mwisho litakalofanyika Diamond Jubilee Jumanne ijayo.Vodacom ndiyo wadhamini wakuu wa shindano hilo.

0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP