Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Tuesday, October 20, 2009

Ujumbe wetu katika mkutano wa Mabunge duniani


Mh. Spika Samwel Sitta anahudhuria mkutano wa umoja wa mambunge duniani a.k.a International Parliamentary Union (IPU) , mjini Geneva uswisi ambapo ameongoza ujumbe wa wabunge wanne na waziri mmoja toka Tanzania ambao ni Mh. Kilonsti Mpologomyi, Mhe. Suzan Lyimo, Mhe. Dr. Mwita haji, na Mhe. Idris Mtulia pamoja na Waziri Mhe. Margareth Sitta.

Mh. Spika Samwel Sitta akisalimiana na baadhi ya wabunge toka bunge la uingereza ambao wengi wao wamemiss matukio waliyoyafaidi wakiwa Tanzania kwenye mkutano wa 55 wa CPA.

Katibu wa spika, Daniel Eliufoo, akimfafanulia jambo Mhe. Dr. Idris Mtulia katika mkutano huo. Mbele ni Waziri wa Maendeleo ya Jamii, mhe. Magreth Sitta, ambaye nae anahudhuria mkutano huo. Kwa nyuma ni mhe. Dr. Mwita Haji.


0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP