Dullonet Job,Career and Latest Scholarship

Thursday, October 15, 2009

Wasanii wamuenzi mwalimu kwa kufanya usafi nyumbani kwake Msasani



wasani wa tasnia ya filamu na muziki walikusanyika nyumbani kwa Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere Msasani, Dar, na kufanya usafi kuadhimisha miaka 10 ya kifo chake. Shughuli hii iliratibiwa na African Stars Entertainment, wamiliki wa bendi ya Twanga Pepeta, chini ya Mkurugenzi wake Da'Asha Baraka akisaidiana na Mamaa Dotnata, pamoja na kikosi kizima cha twanga pepeta na mastaa kibao wa filamu. Shughuli ilifana sana Mjukuu wa Mwalimu, Fortunata Nyerere, aliwashukuru wasanii hao kwa niaba ya familia


baadhi ya wasanii hao wakipozi baada ya kazi


wanenguaji wa twanga wakipepeta takataka zote





0 comments:

Post a Comment

  © Dullonet template by Dullonet.com 2009

Back to TOP